SEHEMU YA 40
Ufunuo ulioelekezwa kwa Joseph Smith, Mdogo, na Sidney Rigdon. Ilipokelewa kupitia Joseph huko Fayette, New York, Januari 1831, na ni mwendelezo wa ufunuo uliotolewa kwa James Covill (D. na C. 39).
1a Tazama, amini ninawaambia, kwamba moyo wa mtumishi wangu James Covill ulikuwa sawa mbele yangu, kwani aliagana nami, kwamba angetii neno langu.
1b Akalipokea lile neno kwa furaha, lakini mara Shetani akamjaribu; na woga wa mateso, na mahangaiko ya ulimwengu, yakamfanya alikatae neno; kwa hiyo alivunja agano langu,
1c na imesalia kwangu kufanya naye kama ninavyoona ni vyema. Amina.
Maktaba ya Maandiko: Mafundisho na Maagano
Kidokezo cha Utafutaji
Andika neno moja au tumia manukuu kutafuta kifungu kizima (km "kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu").
Kwa rasilimali za ziada, tafadhali tembelea yetu Rasilimali za Wanachama ukurasa.