SEHEMU YA 79
Ufunuo uliotolewa kupitia Joseph Smith, Mdogo, huko Hiram, Ohio, wakati wa Machi 1832. Unahusu kazi ya umisionari ya Stephen Burnett na Eden Smith.
1a Amini, Bwana asema hivi, kwako, mtumishi wangu Stephen Burnett,
1b Nendeni nyinyi, nendeni ulimwenguni, na mhubiri injili kwa kila kiumbe ambacho kinakuja chini ya sauti ya sauti yenu, na kadiri mnavyotaka mwandamani nitakupa mtumishi wangu Eden Smith;
1c kwa hiyo enendeni mkaihubiri injili yangu, ama kaskazini au kusini; mashariki, au magharibi, haijalishi, kwa maana hamwezi kupotea;
1 kwa hiyo tangaza mambo uliyoyasikia na kuyaamini na kuyajua kuwa ni kweli.
1 Tazama, haya ndiyo mapenzi yake yeye aliyewaita, Mkombozi wenu, hata Yesu Kristo. Amina.
Maktaba ya Maandiko: Mafundisho na Maagano
Kidokezo cha Utafutaji
Andika neno moja au tumia manukuu kutafuta kifungu kizima (km "kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu").
Kwa rasilimali za ziada, tafadhali tembelea yetu Rasilimali za Wanachama ukurasa.